Posts

Showing posts from 2023

Lionel Messi katika Ligi ya MLS

Image
Lionel Messi amesababisha kupatikana kwa kiasi cha $265m (Tshs Bilioni 662) katika mauzo ya Tiketi tangu atue katika Ligi hiyo. Apple TV imepata wateja wapya 300,000, na kutengeneza faida ya $29.7m (Tshs Bilioni 7)

Wachezaji wa Timu ya Taifa “Taifa Stars-AFCON

Image
  Wachezaji wa Timu ya Taifa “Taifa Stars” wakiwa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)kuelekea Tunis, Tunisia kwa Kambi ya kujiandaa na mchezo wa marudiano kufuzu AFCON dhidi ya Algeria utakaochezwa Septemba 7, 2023 Algeria.